Chelsea yaishinda Peterborough United 4-1

0

Nahodha wa Chelsea John Terry alitimuliwa uwanjani dakika ya 66, baada ya kupewa kadi nyekundu, ambayo ndiyo yake ya kwanza tangu mwezi Oktoba wakati ambapo Chelsea wamewanyuka Peterborough mabao 4-1. Chelsea waliitawala mechi hiyo licha ya kukabiliwa na mashambulizi kadha kutoka kwa Peterborough. Terry alipewa kadi nyekundi baada ya kumchezea vibaya mshambulizi Angol. Kutimuliwa kwa Terry...

SIMBA vs YANGA

0