Home Uncategorized Tanzia: Sam wa Ukweli afariki

Tanzia: Sam wa Ukweli afariki

1
0
Usiku wa June 6, 2018 Muimbaji Sam wa Ukweli amefariki dunia baada ya kuzidiwa ghafla akiwa studio, mwili wake kupelekwa katika hospital ya Mwananyamala huku Producer wake Steve aliekua akifanya kazi na Msanii huyo amesema Sam alikuwa akiumwa.
Bonyeza PLAY kumsikiliza STEVE aliyekuwa na marehemu SAM WA UKWELI mpaka umauti ulipompata…
FULL STORY: Kifo cha Sam wa Ukweli aliomba afungwe Pampers
Previous articleGospel Music | Glory Kajura-Unatosha
Next articleMama ashiriki kumteka Mwanae ili apate fedha toka kwa Mumewe

LEAVE A REPLY

Please enter your comment!
Please enter your name here